Bongo Tube Blog

BongoTube Tanzania Videos

TANZANIA VIDEOS. News, Celebrities, Music, Sports, Tourism, Comedy, Recipes...

For any question or request e-mail us bongotube11@gmail.com

miércoles, 23 de enero de 2013

Donate Blood. Save Lives. Creative News

by CreativeNews7


National Blood Transfusion Services of Tanzania / PEPFAR: I'll be a mama after all. Creative News

TV Africa Tanzania Public interest Khanga Rue Media National Blood Transfusion Services of Tanzania

Advertising Agency: Khanga Rue Media, Dar es Salaam, Tanzania
Creative Director / Copywriter: Pat Olvera
Art Director: Nisha Shah-SanghviI
Cinematography: Boaz Freund
Editor: Paul Isangi
Published: December 2012

Arsenal In The Community: Mwanza, Tanzania

by 2007luscious2007


This is a short video of the time Harry and I spent coaching in Africa. It was one of the best highlights of the adventures in my life so far and I intend to return one day. I learnt so much from people with so little, it makes you realise a lot in life and the world we live in.

Coaching football and teaching the children of Tanzania was as inspiring to me as it was to them.

I hope you enjoy...

Winfrida Dominic Miss Universe Tanzania 2012

by Luke Joe


Mahojiano Kati ya NY Ebra na Mshiriki wa Miss Universe kutoka Tanzania Winfrida Dominic akiwa New York City Dec, 2012

Mwigulu ni Mzushi

by CHADEMA tv


Katibu Mwenezi wa Kata ya Saranga Bw. Perfect Mwasiwelwa ameibuka na kukanusha taarifa aliyoitoa Naibu Katibu Mkuu wa CCM Taifa Mwigulu Nchemba kuwa yeye amehamia CCM. Bw.Perfect amesema aliyejitambulisha Jukwaani si yeye na inaelekea amepandikizwa kwa maslahi ya Mwigulu mwenyewe.

Watu 4 wajeruhiwa, magari 24 yaharibiwa kituo cha mabasi Ubungo...

by ITV TANZANIA


Watu wanne wamejeruhiwa,huku magari madogo zaidi ya 24 ya watu binafsi yakiharibiwa vibaya katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani na nchi za jirani cha Ubungo jijini Dar-es-salam baada ya kuangukiwa na ukuta.

domingo, 13 de enero de 2013

Diamond - Nataka Kulewa

by uhphrikuh


Tanzania Bongo Flava. Diamond - Nataka Kulewa

RAY C ALIPOKWENDA KUMSHUKURU RAIS KIKWETE IKULU

by ITV TANZANIA


Siku mwanamuziki wa Kizazi Kipya Rehema Chalamila, maarufu kama RAY C, alipomtembela Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete Desemba 10, 2012 Ikulu jijini Dare s Salaam na kumshukuru kwa msaada wa matibabu aliyompatia wakati alipokuwa mgonjwa hivi karibuni. Rehema aliyefuatana na Mama yake Mzazi Margareth Mtweve na Dada yake Sarah Mtweve alimweleza Rais kuwa afya yake sasa imeimarika na kwamba muda si mrefu ujao atarejea jukwaani kukonga nyoyo za mashabiki wake. Kwa upande wake, Mama Mzazi wa Ray C amemshukuru Rais Kikwete kwa kuokoa maisha ya mwanaye na vilevile ametoa wito kwa watu wanaokusanya michango kwa ajili ya mwanaye waache kufanya hivyo kwani matibabu ya Ray C yamegharamiwa na Rais.